BANDA MEDIA BLOG

MWANAMUZIKI WA MAREKANI APIGWA RISASI NA KUUWAWA


Mwanamuziki wa Marekani Christina Grimmie ameuawa kwa kupigwa risasi katika mji wa Orlando jimbo la Florida.
Mwanamuziki huyo alikuwa mmojawapo wa wanaomenyana katika kipindi cha muziki maarufu cha The Voice.
Amepigwa risasi wakati akitangamana na mashabiki wake baada ya kuwatumbuiza.
Polisi wanasema aliyetekeleza mauaji hayo amejiua.

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG