BANDA MEDIA BLOG

RAIS WA NAMIBIA DKT. NETUMBO NDAITWAH AKIKAGUA GWARIDE IKULU

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Namibia, Mheshimiwa Dkt. Netumbo Nandi-Ndaitwah ambaye yuko katika ziara ya kitaifa nchini Tanzania  wakipokea heshima ya wimbo wa taifa mara baada ya kuwasili ikulu jijini Dar es Salaam Juni 20, 2026

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiongozana na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Namibia, Mheshimiwa Dkt. Netumbo Nandi-Ndaitwah ambaye yuko katika ziara ya kitaifa nchini Tanzania baada ya kumpokea alipowasili ikulu jijini Dar es Salaam Juni 20, 2026

    

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG