BANDA MEDIA BLOG

JUMUIA YA KUULINGANIA UISALAM DUNIANI YATOA MAFUNZO YA COMPYUTA, KIARABU NA USHONAJI BURE DODOMA, MAHAFARI YA WALIOMALIZA YAFANA

Mkurugenzi wa Elimu TAMISEMI Abdul Maulidi akizungumza jambo wakati wa mahafari ya 10 na 11 ya kozi za ushonaji, Compyuta na Lugha ya kiarabu, mafunzo hayo ya bure yanaendeshwa na Jumiya ya Kuulingania Uislamu Dunia tawi la Dodoma, waliokaa katikati Mkurugenzi mkuu wa jumuia hiyo Amar Bashir Zayani wa Nchini Libya mwingini ni Mkurugenzi wa kituo cha Dodoma Ally Balawa

Kaimu Shekh Mkuu wa mkoa Ahmed Said akizungumza jambo katika mahafari hayo yaliyofanyikia ndani ya msikiti wa Gadafi yanakofanyikia mafunzo hayo bila garama zozote kwa wanafunzi

Mkurugenzi kituo cha Dodoma Ally Balawa akizungumza jambo katika mahafari hayo huku Mkurugenzi wa Jumiya Hiyo Amar Bashir Zayani na Mkurugenzi wa Elimu Tamisemi Abdul Maulidi wakimuangalia

Mkurugenzi wa Elimu Tamisemi Abdul Maulidi akikabidhi cheti cha kuhitimu kwa mmoja wa wahitimu

Baadhi ya wahitimu

Mkurugenzi Tamisemi akisistiza jambo


Baadhi ya viongozi wa Jumuia ya kuulingania uislamu Duniani pamoja na wenyeji wa msikiti wa Gadafi wakiwa meza kuu

Picha ya pamoja na wahitimu


Mkurugenzi wa World Islamic Coll Society Amar Bashir Zayani linalotoa mafunzo ngazi ya Compyuta, Lugha ya Kiarabu na ushonaji ngazi ya cheti, akitate jambo na Mkurugenzi wa Elimu TAMISEMI Abdul Maulidi huku Mhasibu mkuu wa jumuiya hiyo Ahmed Elmajdoubi akiwasikiliza


Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG