HomeSIASA Moshi Mweupe Waanza Kuonekana CUF, Haya Hapa Majina Matatu Yaliyopitishwa Nafasi ya Uenyekiti byJohn Banda -Sunday, August 21, 2016 0 Baraza Kuu la CUF limepitisha majina 3 yatakayopigiwa kura kujaza nafasi ya Uenyekiti, iliyoachwa wazi na Prof. Lipumba mwaka jana. Majina hayo ni Twaha Taslima, Riziki Shahari Mngwali na Juma Nkumbi. Tags SIASA Facebook Twitter