RC Makonda Awaambia Watu wa Mikoani: Unaruhusiwa Kuja Dar Kwa Ruhusa Maalum tu
byJohn Banda-
0
Unaruhusiwa kuja Dar es salaam lakini lazima uwe na sifa maalum ila
unaruhusiwa kuja kumsalimia ndugu yako lakini usikae sana"- Mkuu wa Mkoa
wa Dar es Salaam Paul Makonda