BANDA MEDIA BLOG

VITABU VYA TAARIFA YA FEDHA VYA MANISPAA YA SHINYANGA VYAKATALIWA NA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA HESABU ZA SERIKALI ZA MITAA [LAAC]




Wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya mahesabu ya za Serikali za mitaa [LAAC] wakiwa pamoja na viongozi wa manispaa ya Shinyanga ambapo kamti hiyo ilikataa taarifa za fedha za manispaa hiyo

Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu ya Serikali za Mitaa [LAAC] Vedasto Ngombale akiongea jambo wakati alipokuwa akisoma maadhimio ya kamati hiyo kuhusu kuvikataa vitabu vya taarifa ya Fedha vya manispaa ya Shinyanga, kulia ni Katibu wa Kamati hiyo

Mkurugenzi wa Manispaa ya Shinyanga Kalinga Lewisi aliyekaa katikati hakufahamika jina lake na Kushoto ni Mchumi wa manispaa hiyo Mwaisega Mwambuli wakitafakari jambo wakati Mwenyekiti wa kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa [LAAC] Vedasto Ngombale hayupo pichani akiiktaa vitabu vya taarifa yao. [IMETENGENEZWA NA BANDA BLOG]

Viongozi toka shinyanga wakiwa katika ukumbi huo


Naibu Meya wa Mnispaa ya Shinyanga Agnes Machia akifanua jambo wakati halmashari huyo ilipofikishwa mbele ya kamati ya kudumu ya Bunge ya Serikali LAAC, kulia ni Katibu Tawara wa Mkoa wa Shinyanga Albart Msovella na kushoto ni Mkurugenzi wa manispaa hiyo Kalinga Lewisi

Katibu Tawara wa Mkoa wa Shinyanga Albart Sovella akizungumza jambo mbele ya kamati ya kudumu ya Bunge ya Serikali za Mitaa [LAAC] ambapo viongozi hao walifika ili kuhojiwa katika kamati hiyo, waliokaa ni Naibu Meya wa manispaa ya shinyanga Agnes Machia na Mkurugenzi Kalinga Lewisi 

Waziri wa TAMISEMI George Simbachawene akiongea jambo katika kikao hicho

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG