![]() |
| Mwenyekiti wa umoja wa wenye Daladala Mzee Bangiadi akizunguza jambo kituoni hapo |
![]() |
| Askari wa kikosi cha usalama Barabani wakijadili jambo katika kituo cha Daladala cha Jamatini wakati kukiwa hakuna gari hizo za usafiri kutokana na Madereva wake kugoma IMETENGENEZWA NA BANDA BLOG |
7
Tags
HABARI KITAIFA





