BANDA MEDIA BLOG

MASHABIKI WA SOKA DODOMA WAONYESHA KIU KUBWA YA MCHEZO HUO WAKATI SIMBA NA POLISI ZILIPOMENYANA KATIKA UWANJA WA JAMHURU MJINI HUMO

Nje ya Uwanja

Mashabiki wakinunua Tiketi za kuingilia katika mchezo huo

Mashabiki wa Simba ndani ya Uwanja

Mchezaji wa timu ya Polisi ya Dodoma inayoshiriki ligi daraja la kwanza Jonbosco Masanja akijaribu kumtoka Abdi Banda wa Timu ya Simba inayoshiriki ligi kuu IMETENGENEZWA NA BANDA BLOG

Kikosi cha Polisi

Kikosi cha Simba

Naibu Spika wa Bunge Dk, Tulia Ackson akimpa mkono mchezaji wa simba Abdi Banda wakati alipokuwa akizikagua timu hizo kabla ya mtanange wao wa kirafiki

Mcheziji wa Polisi Dodoma Edward Amos akisalimiana na Spika wa Bunge wakati wa mtanange wao

Nahodha wa Timu ya Polisi ya Dodoma Christian Sembuli mwenye jezi nyeupe akisalimiana na Nahodha wa Timu ya Simba Mwinyi Kazimoto

pisha nipite

Kazimoto na Jonbosco wakimenyana katika mtanange huo

Shedrack Hango [Diego] wa Polisi  akipambana na Mohamed Ibrahimu wa Simba

Sehemu ya Mashabiki wa Timu ya Simba wakifuatilia mtanange huo katika uwanja wa jamhuri

Mfungaji wa Goli la kwanza la Simba Abdi Banda akifurahia Goli lake kwa kugongeana mikono na shabiki wa timu hiyo

Dk 2 mpira kwisha


Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG