BANDA MEDIA BLOG

Mbunge wa Tarime John Heche Ashawishi Bunge Kuridhia Posho za Kikao cha leo Zipelekwe Kwa Wahanga wa Tetemeko


Mbunge wa Tarime John Heche (UKAWA-Chadema) amefanikiwa kulishawishi bunge kuridhia posho za leo tarehe 13 za wabunge zipelekwe kagera kwa wahanga wa Tetemeko.
Katika hoja yake mbunge huyo machachari amewataka wabunge waondoe tofauti zao na kukubali posho zote za wabunge leo zikasaidie wahanga hao wa tetemeko.
Wabunge wote kwa pamoja bila kujali tofauti zao wameridhia hoja hiyo kwa asilimia mia moja

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG