BANDA MEDIA BLOG

SIKU YA AMANI YA KIMATAIFA DUNIANI KUFANYIKA MJINI DODOMA SEPTEMBA 21, 2016 CHINI YA UMOJA WA MATAIFA

Ofisa Habari wa kituo cha habari cha umoja wa mataifa Stella Vuzo akitoa ufafanuzi wa jambo mbele ya waandishi wa habari mjini Dodoma kuhusu siku ya Amani ya Kimataifa inayotarajiwa kufanyika kesho septemba 11, 2016 katika ukumbi wa nyerere Chuo cha mipango

Mwenyekiti wa kamati ya Amani na Kaimu Shekh wa mkoa Dodoma Ahmed Said akizungumza kuhusu namana ya ushiriki wa mdahalo utakaofanyika chuo cha mipango chini ya umoja wa mataifa, wenye kauli mbiu ya " tujenge amani tokomeza rushwa, dumisha amani" kulia ni Ofsa habari wa kituo cha habari cha umoja wa mataifa Stella Vuzo na kushoto Mwenyekiti mwenza wa kamati ya amani Amosi Kinyunyu
Waandishi wa habari wakiwajibika wakati walipokuwa wakipokea ratiba ya siku ya Amani ya kimataifa inayofanyika chini ya umoja wa mataifa IMETENGENEZWA NA BANDA BLOG



Ofsa Vijana wa Shirika la kimataifa la kujitolea [VSO] Nyaindi Stephen akizungumza kwenye mkutano huo na vyombo vya habari,katikati ni Ofisa habari ofisi ya mkuu wa mkoa wa Dodoma Jeremia Mwakyoma na Ofisa habari wa kituo cha habari cha umoja wa mataifa Stella Vuzo



Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG