BANDA MEDIA BLOG

WADAU WA HABARI WATAKA MSWADA WA HABARI USIPITISWE MPAKA BAADA YA MIEZI 3 ILI KUTOA NAFASI YA WADAU KUUSOMA NA KUUELEWA

Katibu wa Jukwaa la Wahariri,(TEF)Neville Meena akizungumza na Waandishi wa Habari(hawapo pichani) kuhusu mapendekezo ya wadau wa habari ambao kwa pamoja wametaka   muswada wa sheria ya huduma za Habari,kujadiliwa kwa zaidi ya miezi mitatu kushoto ni Rais wa UTPC Deogratius Nsokolo,kulia Meneja wa Programu za MCT,Pili Mtambalike,Makamu Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri(TEF) Deodatus Balile na Katibu Mtendaji wa Wamiliki wa vyombo ya habari Tanzania(MOAT)Henry Muhanika.

Makamu Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri(TEF) Deodatus Balile akiongea jambo wakati alipokuwa akitoa msimamo wa wadau wa habari wa kutaka mswada wa habari usogezwe mpaka mwezi wa pili mwakani na Katibu Mtendaji wa Wamiliki wa vyombo ya habari Tanzania(MOAT)Henry Muhanika kulia na kushoto ni
Meneja wa Programu za MCT,Pili Mtambalike, [PICHA NA JOHN BANDA]


Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG