BANDA MEDIA BLOG

WARSHA YA SIKU TATU YA MAFUNZO KWA WATUMISHI WA SERIKALI ZA MITAA NA HALMASHAURI ZA MIKOA YA KUSINI KUHUSU MALENGO YA MILLENIA, YAFUNGWA RASMI MJINI DODOMA HUKU WENYEWE WAKAHIDI KWENDA KUCHAPA KAZI SAWASAWA

Mkurugenzi wa Sera na Mipango Ofisi ya Rais TAMISEMI Yeremiah Sendoro akizungumza jambo wakati alipokuwa akifunga Warsha ya Siku Tatu  kwa watumishi wa Serikali za Mitaa na Halmari za mikoa 6 ya nyanda za juu kusini kuhusu  mkakati wa serikali malengo ya milenia yanayotarajiwa kukamili ifikapo 2030 Kisekta


Mmmoja wa washiriki wa Warsha hiyo akitoa shukurani kwa Mgeni Rasmi na kuahidi kuyafanyia kazi waliojifunza kwa siku tatu katika warsha hiyo [PICHA NA JOHN BANDA]

Katikati ni Mgeni Mkurugenzi wa Sera na Mipango wa Ofisi ya Rais  Tamisemi, Yeremiah Sendoro aliyefika kafunga warsha ya siku 3 ya mafunzo kwa watumishi hao yaliyofanyika katika ukumbi wa hazina ndogo makao makuu Dodoma, Kushoto ni Mkurugenzi msaidizi Wizara ya Fedha na Mipango Servus Sagday na kulia ni mwenyekiti wa Warsha hiyo Manetha Mlonzi ambaye ni Afsa Maendeleo ya Jamii Manispaa ya Mpanda 


Washiriki wa Warsha hiyo wakiwa ukumbini kabla kufungwa rasmi



Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG