BANDA MEDIA BLOG

HUMPHREY Polepole "Bado Naamini Muundo wa Serikali Tatu"


Katibu mwenezi mpya wa CCM aliyevaa viatu vya Nape, Humphrey Polepole amesema bado anasimamia msimamo wake alioutoa wakati wa bunge la katiba, kuwa Tanzania inahitaji muundo wa serikali tatu.

Msimamo huu unaonekana kwenda kinyume na msimamo wa chama chake.

Source: Mtanzania, Jambo Leo.

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG