Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkuu wa Mkoa
Lindi Godfrey Zambi mara alipowasili katika uwanja wa ndege wa Nachingwea kwa
ajili ya ziara ya kikazi katika wilaya ya Ruangwa Mkoani lindi kushoto ni
mwenyekiti wa CCM mkoa wa lindi Alli
Mohamed Mtopa
|