SASA TRA KUKUSANYA KODI YA MAJENGO KWA KUWATUMIA WATAARAMU WA TATHIMINI YA MAJENGO
byJohn Banda-
0
Mtoa Elia wa Mmlaka ya mapato Nchini [TRA] Gabriel Mwangosi akifafanua jambo wakati alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari mjini Dodoma kuhusu Kodi ya majengo ambayo kwa sasa inakusanywa na mamlaka hiyo [PICHA NA BANDA BLOG]
Meneja wa TRA Mkoa wa Dodoma Thomas Masese akizungumza jambo katika warsha hiyo