Spika
wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai (Kulia)
akimkabidhi Vitabu Vitatu Spika wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar
Mhe. Zubeir Ali Maulid (Kushoto) katika kikao kilichofanyika leo Ofisini
kwake Mjini Dodoma. Vitabu hivyo ambavyo ni kanuni za kudumu za Bunge
ya Kiswahili, kanuni za kudumu za Bunge kwa Kingereza na Kitabu cha
Orodha ya Wabunge.
(PICHA NA OFISI YA BUNGE) |
Tags
Bunge