Rais Magufuli amesema kuwa bomba hilo litasaidia kupata mapato kwa sababu litatoa ajira kwa watu zaid ya 10,000 na litapita katika vijiji 124 na mikoa 8, mradi huu utasimamiwa na makampuni 3 na yatajenga matanki 5 kwa niaba ya kuhifadhia mafuta,
Mradi huu utagharimu dola za kimarekani Bilioni 3.5 na baada ya kujigwa kwa mradi huu unakusudia utaongeza wawekezaji kwa zaidi ya asilimia 55, Mradi huu umepangwa kuanzwa Januari 2018 na utachukua miaka 3 kuukamilisha.
Tags
BOMBA LA MAFUTA