BANDA MEDIA BLOG

VIMEMO VILIVYOSABABISHA UTITILI WA WALIMU SHULE ZA MSINGI ZA MJINI DODOMA HUKU SHULE ZA VIJIJINI ZIKIKOSA WALIMU WA KUTOSHA....!!!! MADIWANI

Mstahiki Meya  Prof  Davis Mwamfupe  wa katikati akiingia kwenye ukumbi wa mikutano wa Manispaa ya Ddoma ili kuendesha kikao cha baraza la madiwani, Nyuma ni Naibu Meya Jumanne Ngede Mkurugezi wa manispaa hiyo Godwini Kunambi na mbele ni CC Wa Kikao 
Mkurugenzi wa Manispaa hiyo Godwini Kunambi akizungumza jambo wakati wa kikao cha Baraza Hilo waliokaa ni Mstahiki Meya Prof Davis Mwamfupe na Naibu Meya Jumanne Ngede

Madiwani wakiwa katika ukumbi huo wakati kikao kikiendea PICHA NA JOHN BANDA WA BANDA BLOG
Diwani kata ya Chang'ombe Bakay Fundikila [CCM]
 

Mhandisi wa Manispaa ya Dodoma Lusako Kilembe

Diwani Kata ya Madukani Said Kitegile [CHADEMA]



Diwani kata ya Kikuyu Kusini Kutika Hans [CCM]


Diwani Kata ya Makulu Mh. Matula [CHADEMA]

Diwani wa Mbabara Pascazia Mayala [CCM]

Diwani Kikombo Yona Kusaja [CHADEMA]


Afsa Elimu Msingi wa Manispaa Mwisungi Kigosi

KITENDO kilichowahi kufanywa na watu wasio waaminifu kwenye upangaji wa walimu katika shule za msingi za Manispaa ya Dodoma cha kuwapanga walimu kwa upendeleo na kuwajaza shule za mjini kimeendelea kuiumiza halmashauri hiyo kutokana na shule nyingi za pembezoni kukosa walimu wa kutosha
Hayo yamesemwa na Afsa Elimu Msingi wa Manispaa ya Dodoma Mwisungi Kigosi ambaye alitakiwa kujibu Swali la Diwani wa Kata ya Kikombo Yona Kusaja wakati wa maswali ya papo kwa papo kwenye kikao cha baraza la Madiwani ambapo alitaka kujua mkakati wa manispaa hiyo kuongeza walimu katika shule zilizopo pembezoni.
Awali akiuliza swali hilo Diwani wa Kata ya Kikombo Yona Kusaja alisema Shule msingi  Kikombo ina walimu 1,433 Ikiwa na walimu 11 huku shule ya msingi Chololo ikiwa na wanafunzi  733 ikiwa na walimu 6
Kwa Upande wake Mkurugenzi wa Manispaa hiyo Godwin Kunambi amesema Rasilimali Fedha ni Changamoto lakini hata hivyo walimu watakaohamia  watapangiwa shule za pembezoni

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG