BANDA MEDIA BLOG

No title

 

  NAIBU WAZIRI 'MWANA FA' APAGAWISHA MKUTANO WA CHONGOLO TANGA


Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mbunge wa Jimbo la Muheza,Hamis Mwinjuma maarufu Mwana FA akitumbuiza wakati wa mkutano wa Katibu Mkuu wa CCM,  Komredi Daniel Chongolo wa kutoa elimu sahihi kuhusu uwekezaji wa Bandari ya Dar es Salaam mjini Korogwe Tanga Julai 19,2023.









 Mwana FA akipongezwa na Katibu Mkuu wa CCM, Komredi Chongolo baada ya kutoa burudani ya aina yake kwenye mkutano huo.

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG