BANDA MEDIA BLOG

No title

WAZIRI MKUU APOKEA SH. MILIONI 10 ZA MAAFA YA KATESH

 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea mchango wa shilingi milioni 10 kutoka kwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya   Maridhiano na Amani Tanzania , Sheikh Dkt.  Alhad Issa Salum  (kulia) na Katibu Mkuu  wa Jumuiya hiyo, Dkt. Mhasa Ole Gabriel kwa ajili ya waathirika wa mafuriko yaliyotokea Katesh wilayani Hanang. Makabidhiano yalifanyika kwenye Makazi ya Waziri Mkuu, Oysterbay jijni Dar es salaam, Desemba 18, 2023. Fedha hizo zimetolewa na Kanisa la International Evangelism lenye makao yake makuu jijini Arusha linaloongozwa na Askofu Dkt Eliud Isangya.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)




 

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG