BANDA MEDIA BLOG

MBUNGE WA UBUNGO SAID KUBENEA AWATEMBELEA WANANCHI WAKE KUWASHUKURU KUMCHAGUA NA KUJUA CHANGAMOTO ZAO


 Mbunge wa Jimbo la Ubungo, Said Kubenea akiongea na wananchi Stendi ya Mabasi ya Ubungo Dar es Salaam leo, kuwashukuru kwa kumchagua na kujua changamoto zao mbalimbali. Mbunge huyo jana alitembelea Soko la Ndizi la Mabibo, Soko la Mabibo, Kituo cha Mabasi cha Mawasiliano  na kumpa pole ya sh. milioni 1.1 Diwani wa Kata ya Manzese, Ramadhani Kwangaya ambaye ni Mkuu wa Chuo cha Mus’ab kilicho chomwa moto na kuunguza magodoro 30.

 Kubenea akizungumza na waandishi wa habari na wananchi katika Soko la Ndizi la Mabibo.

 Hapa akiwaunga mkono wananchi kununua mananasi katika soko la ndizi la mabibo

 Mbunge Kubenea akisalimiana na wananchi katika soko hilo.

Hapa akiwahutubia wananchi katika soko la Mabibo.
(Imeandaliwa na mtandao wa www. habari za jamii.com-simu namba 0712-727062)

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG