BANDA MEDIA BLOG

UNDP YAZINDUA MIRADI YA MAJI, KILIMO NA UFUGAJI WA NGURUWE YENYE THAMANI YA USD 150, 000 KATIKA KIJIJI CHA MANCHALI WILAYANI CHAMWINO


Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa Bw. Alvaro Rodrignez katikati akiwa kwenye picha ya pamoja  na wakazi wa kijiji cha manchali wilayani chamwino Dodoma mara baada ya kuzindua mradi wa ufugaji Nguruwe.

Nguruwe wakiwa kwenye Banda lao

Mwakilishi Msaidizi wa UNFPA - TZ  Dkt, Hashina Begum, Mwakilishi Mkazi wa Umoja wa Mataifa Bw. Alvaro Rodriguez na Mkurugenzi wa UNDP Awa Dabo wakiwa na wananchi wa kijiji cha Manchali wilayani Chamwino kwa ajili ya Uzinduzi wa Miradi ya Ufugaji wa Nguruwe, Kilimo cha Vitalu vya miti na Kisima cha maji chenye umeme wa jua.

Mwakilishi wa UNFPA Dkt, Hashina Begum akimtwisha Ndoo ya Maji Mkazi wa Kijiji hicho mara baada ya uzinduzi wa kisima Cha maji


Mkurugenzi wa UNDP Awa Dabo akimtwisha Mkazi dumu la maji kwenye uzinduzi huo




Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa Alvaro Rodriguez akipanda mti wa kumbukumbu wakati wa uzinduzi huo




Mratibu mkazi wa Umoja wa mataifa Alvaro Rodriguez akiwa na Mkuruguzi wa UNDP Awa Dabo [kushoto] na kulia Mwakilishi Msaidizi wa UNFPA -TZ Dkt, Hashina Begum katika picha ya pamoja kwenye kibao kinachoonyesha mradi wa viatalu vya miti

Awa Dabo akipanda miti

picha baada ya kuzindua Kisima cha maji



Hoyce Temu akifali hotuba ya Mkurugenzi wa UNDP Awa Dabo kwa wakazi wa Manchali




Namwagilia mimi mti huu usife

Hata mimi hivyo hivyo muumwagilie kama mimi

Hapa kazi Tu Awa Dabo

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG