| Bidha mbalimbali zilizopo katika mabanda yaliyopo katika soko la majengo ambayo yanatakiwa kuvunjwa na manispaa ili kupisha usafi. |
| Kaimu Mkurugenzi wa manispaa ya Dodoma Clemency Mkusa akifafanua jambo katika mkutano na wafanyabiashara wa soko la majengo |
| PICHA ZOTE NA JOHN BANDA |
| Mwenyekiti wa Wafanyabiashara wa Soko la Majengo Godson Lugazama akizungumza katika mkutano huo |
| Baadhi ya wafanyabiashara wakiwa mbele ya ofisi za soko hilo kulikofanyika mkutano huo |
| Sehemu ya Kuta zinazotakiwa kuvunjwa ili kupisha njia ya kupitisha magari yatakayokuwa yakipita kufanya usafi katika mtaro huo. |
| Wafanyabiashara wa soko hilo wakionekana katika taswira Tofauti wakati mkutano huo ukiendelea |
Tags
BIASHARA