| Add captionDokta
Mwele Malecela wa Kituo cha Utafiti wa Madawa (NIMR) Tanzania akifanya
mahojiano jana na baadhi ya vyombo vya habari vilivyoshiriki katika
warsha ya siku mbili inayofanyika mkoani Arusha kujadili njia bora za
kupambana na magonjwa ya mlipuko kwa binadamu na wanyama ukiwemo ugonjwa
wa Ebola na mengineyo katika bara la Afrika na kwingineko
duniani.Warsha hiyoimeandaliwa kwa pamoja na taasisi za afya za SACIDS
na EAIDSNet na kufadhiliwa na taasisi ya afya ya CORDS ya nchini
Ufaransa. |