Naibu
Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi CUF, Magdalena Sakaya (kushoto)
akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Januari 9, 2016
kuhusu kupinga ubomoaji wa nyumba za wananchi nchini kote bila utaratibu
kulia ni Ofisa harakati na Matukio, Nurdin Msati.
Picha na Philemon Solomon-Fullshangweblog.