Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akifungua mkutano wa wabunge, bungeni
mjini Dodoma Januari 22, 2016. Kulia ni Spika wa Bunge Job Ndugai na
kushoto ni Katibu wa Bunge Dkt. Thomas Kahilillah. (Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu)
Spika
wa Bunge Job Ndugai akizungumza kumkaribisha Mwenyekiti wa Mkutano wa
Wabunge, Waziri Mkuu, Kassim Majliwa kufungua mkutano huo bungeni mjini
Dodoma Januari 22, 2016. Kulia ni Katibu wa Bunge Dkt. Thomas
Kashilillah. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Mkurugenzi wa Shughuli za Bunge, Nenelwa Mwihambi akitoa mada katika
mkutano wa wabunge ulioongozwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, buneni
mjini Dodoma Januari 22, 2016. Watatu kulia ni Spika wa Bunge Job Ndugai
na kulia ni Katibu wa Bunge, Dkt. Thomas Kashilillah.(Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu)
Wabunge,
Jenista Mhagama wa Peramiho (kushoto) na January Makamba wakiteta
katika mkutano wa wabunge, bungeni mjini Dodoma Januari 22, 2016. (Picha
na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, George Masaju akitoa mada katika mkutano w
wabunge , bungeni mjini Dodoma Januari 22, 20167. (Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Mafinga mjini Cosato
Chumi kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Januari 22, 2016. (Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu)
Tags
Bunge


