BANDA MEDIA BLOG

MWANAMKE MMOJA AWA SHUJAA BAADA KUMUOKOA MTU ALIYEUGUA ANGANI

Abiria wa ndege amepongezwa kama shujaa baada ya kupambana kwa dakika 40 kuokoa maisha ya mwanaume mmoja aliyepata shambulio la moyo wakati ndege ya Ryanair ikiwa angani.

Abiria huyo mwanamke aliyekuwa kwenye ndege iliyotokea kisiwa cha Canary kwenda Liverpool katika uwanja wa John Lennon, alijitolea kuokoa maisha ya mwanaume huyo baada ya kusikia tangazo la kuoamba msaada wa daktari.


Mwanamke huyo alinyanyuka na kwenda kwenye kiti cha mwanaume aliyepatwa shambulio la moyo na kumsaidia kuokoa maisha yake hadi ndege ilipotua Cork, Ireland kwa dharura.

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG