BANDA MEDIA BLOG

UBWA, CHANONGO HAOOOOOOOOO NDANI YA PIGA KWENDA ZAO TP MAZEMBE


Beki wa Stand, Abuu Ubwa na mshambuliaji wa timu hiyo, Haruna Chanongo wakiwa ndani ya ndege kwenda mjini Lubumbashi nchini Dr Congo.


Wakiwa huko wanatarajia kufanya majaribio ya wiki mbili katika kikosi cha TP Mazembe na kama wakifuzu, basi wanalamba mkataba saaafi.

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG