
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo,Mh.Nnape Nnauye akiwa katika picha ya pamoja na na baadhi ya Wakuu wa Idara ya Habari Maelezo na Wahariri kutoka vyombo mbalimbali vya habari mapema leo,alipokutana nao na kujadili changamoto mbalimbali zinazoikabiri tasnia hiyo,mkutano huo umefanyika kwenye moja ya ukumbi ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar.

Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo,Mh.Nnape Nnauye akiwa katika picha ya pamoja na na baadhi ya Wakuu wa Idara ya Habari Maelezo na Wahariri kutoka vyombo mbalimbali vya habari.
Waziri
wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo,Mh.Nnape Nnauye akizungumza na
Wahariri wa vyombo vya habari (hawapo pichani),mapema leo jijini
Dar,kwenye mkutano uliohusu kujadili mambo mbalimbali zikiwemo
changamoto zinazoikabiri tasnia ya habari hapa nchini.Pichani kulia ni
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Absalom Kibanda na kushoto ni Kaimu
Mkurugenzi Idara ya Habari MAELEZO Bi Zamaradi Kawawa.
Kaimu Mkurugenzi Idara ya Habari MAELEZO Bi Zamaradi Kawawa akiwakaribisha Wahariri wa vyombo vya habari (hawapo pichani),mapema leo jijini Dar,kwenye mkutano ulioitishwa na Waziri Nape kwa ajili ya kujadili mambo mbalimbali yanayoikabiri tasnia ya habari hapa nchini.Pichani kati ni Waziri Mh.Nape pamoja na Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Absalom Kibanda.
Mwenyekiti
wa Jukwaa la Wahariri Absalom Kibanda akitoa muongozo kwa Wahariri wa
Vyombo vya habari (hawapo nchini) kuhusina na mkutano wao ulioitishwa na
Waziri Nape kujadili mambo mbalimbali na changamoto zinazoikabiri
tasnia hiyo kwa ujumla.
Baadhi ya Wahariri wa vyombo vya habari wakiwa kwenye mkutano huo wakifuatilia mambo mbalimbali yaliyokuwa yakijadiliwa ukumbini humo.

Mmoja wa Wahariri Kurwa Kaledia kutoka New Habari Hause akiomba ufafanuzi wa jambo kwa Mh Waziri Nape huku baadhi ya wahariri wakifuatilia kwa makini.

Baadhi ya Wadau wakubwa wa habari pia walikuwepo kwenye mkutano huo .PICHA NA MICHUZI JR
Tags
HABARI KITAIFA



