BANDA MEDIA BLOG

DAR -UL - MUSLIMEEN YATOA MSAADA WA MADAWATI 55 YENYE THAMANI YA 6.6 MIL SHULE YA MEDELII ILIYOPO MANISPAA YA DODOMA AMBAYO WATOTO WANAKAA KWENYE VUMBI.

Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Medelii kata ya Tambukareli Manispaa ya Dodoma Rehema William akipokea Moja ya madawati 55 toka kwa Meneja wa Shule ya Dar -ul- Muslimeen, Musleem Banji aliyetoa madawati hayo yenye thamani ya 6.6 mil.

Meneja wa Shule ya Dar - ul- Muslimeen Muslim Bhanji akimkabidhi Mmoja wa Wnafunzi wa Shule ya Msingi Medelii moja ya madawati 55 aliyotoa msaada kwa shule hiyo IMEANDALIWA NA BANDA BLOG

Madawati hayo
wanafunzi hawa ambao ni viongozi wa Taifa hili hapo baadae wakisoma kwa ugumu kutokana na shule yao kukosa Madawati lakini wenyewe wanabookua kiasi cha kukosekana aliyefeli kwa darasa zima


Wanafunzi wa shule hiyo wakisoma huku wakiwa wamekaa chini

Moja ya Darasa linatumika kama jiko huku watoto wakifundishiwa humo

Meneja wa Shule ya Dar - ul- Muslimeen Muslim Bhanji akimkabidhi Mmoja wa Wnafunzi wa Shule ya Msingi Medelii moja ya madawati 55 aliyotoa msaada kwa shule hiyo

Ukuta wa Shule ya Msingi Medelii Kata ya Tambukareli Manispaa ya Dodoma ukiwa na ufa mkubwa ambayo ni hatari kwa wanafunzi wanaosoma shuleni hapo
Baadhi ya viongozi na walimu wa shule ya msingi Medelii wakisubili kukabidhiwa madawati ya msaada toka  shule ya Dar -ul- muslimeen


Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Medelii kata ya Tambukareli Manispaa ya Dodoma Rehema William akipokea Moja ya madawati 55 toka kwa Meneja wa Shule ya Dar -ul- Muslimeen, Musleem Banji aliyetoa madawati hayo yenye thamani ya 6.6 mil.



Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG