BANDA MEDIA BLOG

GHARIKA IMOGEN YASABABISHA MAAFA UINGEREZA


Nyumba zaidi ya 13,000 zimeachwa bila umeme leo kufuatia gharika Imogen kuikumba Uingereza ikiambatana na upepo wenye kasi ya 100mph.

Gharika hiyo imeathiri eneo la kusini na kuwafanya wasafiri wawe na wakati mgumu, wakati watoto wawili wakikimbizwa hospitali baada ya ukuta kuwaangukia.

Kumetolewa tahadhari za mafuriko zaidi ya 280 huku huko Wales malori yakizingira na maji huku mvua kubwa zaidi ikitarajiwa kunyesha leo.
                      Meli ikiwa inapigwa na wimbi kubwa lililoambatana na gharika
                        Gari lililosombwa na upepo wa gharika likiwa limeanguka chini
         Maafa miti nayo haikusalimika kama inavyoonika hapa ukiwa umeangukia gari



Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG