Katibu
wa Jukwaa la Wahariri Bw Neville Meena akifafanua jambo kwa Katibu wa
Bunge Dkt Thomas Kashililah wakati alipomtembele Ofisini kwake kwa ajili
ya mazungumzo. Kuli kwa Spika ni Naibu Katibu wa Bunge-Shughuli za
Bunge Bw. John Joel.Wengine katika picha ni Viongozi wa Jukwaa la Wahiri
na Maafisa wa Bunge. (Picha na Ofisi ya Bunge)