Waziri mkuu, Kassim Majaliwa
akizungumza na Mbunge wa Ilemela na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na
Maendeleo ya Makazi, Angelina Mabula kwenye jengo la Utalwala la Bunge
mjini Dodoma Februari 5, 2016.
Waziri
Mkuu, Kassim Majliwa akisalimiana na Mbunge wa Longido, Onesmo Ole-
Nangole kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Februari 5, 2016.
Waziri
Mkuu, Kassim Majliwa akisalimiana na Mbunge wa Simanjiro , James Ole
Millya (kulia)kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Februari 5, 2016.
Katikati ni Mbunge wa longido, Onesmo Ole Nangole.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akizungumza na Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari (katikati) na
Mwenyekiti wa Baraza la Vijana la CHADEMA (BAVICHA), Patrobas katambi
(kulia) kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Februari 5, 2016.
Waziri Mkuu, Kassim Majliwa
akizungumza na Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari kwenye
viwanja vya Bunge mjini Dodoma Februari 5, 2016.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Tags
Bunge