Msafara
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe
Magufuli ukipita katika eneo la Msamvu mjini Morogoro kuelekea Dodoma.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akiwasalimia wakazi wa Msamvu mjini Morogoro wakati akiwa njiani
kuelekea Dodoma.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akiwasalimia wakazi wa Wami dakawa mkoani Morogoro wakati akiwa njiani
kuelekea Dodoma.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akiwasalimia wakazi wa eneo la Magole mkoani Morogoro.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiangalia ukarabati
unaondelea katika barabara kuu ya Morogoro-Dodoma eneo la Kibaigwa .
sehemu ya barabara hiyo inakarabatiwa chini ya usimamizi wa Wakala wa
Barabara nchini TANROADS.
PICHA NA IKULU
Tags
HABARI KITAIFA