TASWILA YA BARABARA YA 11 INAYOKATIZA SOKO LA MAJENGO MJINI DODOMA
byJohn Banda-
0
Vyombo vya usafiri vikipita kwa taabu katika barabara ya 11
nje ya Soko kuu la majengo, ambapo barabara hiyo imelalamikiwa na
wafanyabiashara sokoni hapo wakidai serikali imeilekeza. IMEANDALIWA NA BANDA BLOG
Baadhi ya maduka yaliyotazamana na soko kuu la majengo yakiwa wazi huku
madimbwi ya maji yaliyosabaishwa na mvua yakiwa yametuamisha maji nje
ya maduka hayo ambayo tayari hofu ya mlipuko wa Kipindupindu imetanda
kutoka kwa wenyeji.
Magari yakishusha mataunda ya aina mbalimbali nje ya soko kuu la
majengo mjini Dodoma huku barabara yake ikiwa imeharibika vibaya na
kusababisha usumbufu kwa madereva na wafanyabiashara waliopo eneo hilo.