Meneja
Mawasiliano wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA Innocent Mungy,
akizungumza na waandishi wa habari Zanzibar kuhusiana na kutambua Simu
Feki na kudhibiti uingiaji wa Simu hizo Tanzania na kueleza mwisho wa
matumizi wa simu hizo Nchini Tanzania ni Juni 2016. Mkutano huo
umefanyika katika ukumbi wa hoteli ya Zanzibar Ocean View Kilima
Zanzibar na kuwashirikisha waandishi wa Vyombo mbali mbali vilioko
Zanzibar.
Naibu
Mkurugenzi Masuala ya Watumiaji wa Huduma za Mawasiliano TCRA Thadayo
Ringo, akizungumza na waandishi wa habari jinsi ya kutambua Simu feki
wakati wa mkutano huo na waandishi wa habari Zanzibar uliofanyika katika
ukumbi wa hoteli ya Zanzibar Ocean View Kilimani Zanzibar, Amesema
utambuzi wa kujua simu yako kama ni orijinali unaweza kupiga namba
kuaza na Nyota Reli 06 Reli . *# 06# na utapata ujumbe wa Simu yako kwa
Mfano zitakuja tarakimu 15 mfano IMEI 12456789067654 Na Kupiga
15090 Ujumbe wa kukuelewesha kama ni simu yako orijino. kwa mfano kama
huu Sony Mobile Communications AB -SONY C5555 – Xperia. huu ni mfano wa
kujua simu orijino.
Naibu
Mkurugenzi Masuala ya Watumiaji wa Huduma za Mawasiliano Thadayo Ringo
akionesha mfano wa simu orijino kwa waandishi wa habari wakati wa
mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa hoteli ya Zanzibar Ocean View
Kilimani Zanzibar.
Waandishi
wa habari wakifuatilia mkutano huo wa TCRA uliofanyika katika ukumbi wa
hoteli ya Zanzibar Ocean View Kilimani Zanzibar.
Waandishi
wa habari wakifuatilia mkutano huo wa TCRA uliofanyika katika ukumbi wa
hoteli ya Zanzibar Ocean View Kilimani Zanzibar.
Waandishi
wakifuatilia mafunzo hayo kwa vitendo kuangalia somu zao kama ni
orijino baada ya kupata elimu hiyo ya kujua simu feki na orijino wakati
wa mkutano huo na Maofisa wa TCRA uliofanyika katika ukumbi wa hoteli ya
zanzibar ocean view kilimani zanzibar. kwa kuingiza namba waliopewa.
Meneja
wa Mawasiliano wa Mamlaka ya TCRA Innocent Mungy, akitowa maelezo kwa
waandishi wa habari baada ya kuangalia simu zao baada ya kuingiza namba
hizo na kugunduwa kuwa ziko salama na siyo feki. kwa bahati nzuri
takribani waandishi wote simu zao orijino.
Tags
HABARI KITAIFA