Katibu Mkuu Wizara ya
Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel akiwa
katika picha ya pamoja na mdau wa filamu Bi.Khadija Seif(Didas) wakati
alipomtembelea ofisini kwake kujadili jinsi gani ya kutunisha mfuko wa
maendeleo ya filamu.Bi Khadija anategemea kuchangisha milioni 200 katika
mfuko huo.mwingine pichani ni Bi.Joyce Fissoo ambae ni Katibu mtendaji
wa Bodi ya Filamu Tanzania.
Tags
KIBURUDANI