![]() |
| Muonekano wa jukwa lilivyokuwa |
![]() |
| Meza kuu |
![]() |
| Waziri Mkuu Majaliwa Kassimu Majaliwa akiteta jambo na Askofu Mkuu wa Kanisa la EAGT Brown Mwakapesile, wakati wa sherehe ya kumsimika Rasmi Askofu huyo. |
![]() |
| Kwaya mbalimbali zikitumbuza kwa nyimbo |
![]() |
| Wachungaji wa makanisa ya EAGT wakaiwa katika sherehe hizo |
![]() |
| Familia ya Askofu Mkuu EAGT |
![]() |
| Mgeni Maalum akiwa na mkewe |
![]() |
| Mmissional Ralph Hagemeier akielezea jambo wakati alipokuwa akihubiri katika kanisa la EAGT Mail Mbili mjini Dodoma, Muda mfupi kabla ya Kumsimika Rasmi Askofu Mkuu wa Kanisa hilo Brown Mwakipesile. |
![]() |
| Akimsimika Rasmi |
![]() |
| Zawadi ya Biblia |
![]() |
| Askofu Mkuu wa kanisa la EAGT Brown Mwakipesile Akipongezwa kwa kupewa zawadi ya Ua na Mkewe mara baada ya Kusmikwa Rasmi na kuwa Askofu Mkuu wa kanisa la EAGT. |
![]() |
| Katibu Mkuu wa Kanisa la EAGT, Dtk, Leonard Mwizalubi akifurahijambo baada ya kupokea zawadi ya ua toka kwa Mkewe mara baada ya kuwekewa Mkono tayari kwa kazi ya utumishi wa kanisa hilo |
![]() |
| Askofu Mkuu wa Kanisa la EAGT Brown Mwakipesile akisoma jambo mara baada ya kusimikwa rasmi kushika Wazifa huo wa ngazi ya juu kabisa kikanisa nchini. |
![]() |
| Wachungaji wa makanisa ya EAGT wakaiwa katika sherehe hizo |
![]() |
| Waziri Mkuu Majaliwa Kasssimu Majaliwa akimpa zawa ya picha ya Mlima huku ikiwa na ujumbe wa Kibiblia Askofu Mkuu wa EAGT, Brown Mwakipesile wakati wa kusimikwa kwa Askofu Huyo mjini Dodoma |
![]() |
| picha ya pamoja |
![]() |
| Waziri Mkuu Majaliwa akisalimiana na Mke wa aliyekuwa Askofu wa Kwanza wa kanisa la EAGT, Dkt, Moses Kulolakwenye sherehe hizo |
![]() |
| Waziri Majaliwa Akiwaaga waumini wa kanisa la EAGT hawapo pichani wakati akiondoka katika viwanja vya kanisa hilo Maili Mbili Dodoma huku akisindikizwa na Askofu aliyesimikwa Brown Mwakipesile |
Tags
HABARI ZA DINI



























