![]() |
| Mkurugenzi mtendaji wa shirika linalopinga ukatili wa kijinsia na Mila Potofu AFNET, Sara Mwaga akisoma hotuba kwa niaba ya Mwenyekiti wa Mtandao wa Asasi Zinazopinga Ukeketaji Nchini |
![]() ![]() |
| Mwakilishi Mkazi Msaidizi wa Shirika la Umoja wa Mataifa anayeshuhulikia Idadi ya watu (UNFPA) Christine Mwanukuzi Kwayu akiongea kwenye siku ya kimataifa ya kupinga Ukeketaji Iliyofanyika Dodoma |
![]() |
| Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Dkt, Jasmine Tiisike akiongea jambo kwenye ukumbini hapo |


![]() |
| Wanafunzi wakiwa ukumbini hapo |
![]() |
| Siku ya kimataifa ya kupinga ukeketaji ikiendelea mjiniDodoma |
![]() |
| PICHA YA PAMOJA |
Tags
HABARI KITAIFA














