| Wachangia Damu wakiendelea na zoezi hilo katika viwanja vya nyerere Square mjini Dodoma |
| Dkt Leah wa Kitengo cha kuchangia Damu salama cha mkoa wa Dodoma akiendelea kusajili wachangia Damu |
| Wanadodoma wakisubili kuchangia Damu IMEANDALIWA NA BANDA BLOG |
| Damu iliyokwishapatikana |
| Mbunge wa viti maalumu kupitia wasomi wa vyuo vikuu Ester Mmasi akizungumza jambo wakati wa kilele hicho |
| Mbunge wa Dodoma Anthon Mavunde akizungumza kwenye maadhimisho hayo |
| Kaimu Meneja wa Mpango wa Damu salama DK, Abdul Juma akifafanua jambo wakati wa kilele hicho |
| Cheti cha kutamburiwa kama mbeba agenda wa kuhamasisha uchangiaji wa Damu salama kikaenda vyuo vikuu vilivyopo Dodoma na kwa Mbunge anayewawakilisha Ester Mmmasi |
| Waziri wa Afya Ummy Mwalimu akitoa hutuba katika maadhimisho hayo |
| Wasanii mbalimbali wakitoa Burudani |
| MC's Sara na Chaopa |
Tags
HABARI KITAIFA