Ule usemi wa ‘mbuyu ulianza kama mchicha’ nauona hapa, Dauda-Solskjaer Dauda ameanza kuonesha kuusudu mchezo wa soka na tayari ameanza kujifua.
Wazazi mnatakiwa kuwapa-support watoto kwa kile wanachoonesha kukipenda kwa kuwatia moyo na hamasa ili siku moja wafikie ndoto zao.
Angalia picha saba wakati Dauda Jr akijifua uwanjani ili kujiweka fiti.
Nipe comment yako hapo chini, unadhani Dauda Jr anaweza kuwa nyota kwenye soka baada ya miaka kadhaa?
Tags
MICHEZO KITAIFA