BANDA MEDIA BLOG

MKUTANO WA CHAMA CHA VIZIWI TANZANIA [CHAVITA] WAFANYIKA MJINI DODOMA UKISHILIKISHA MIKOA 17

Mwenyekita wa CHAVITA Nembross Mlawa akiongea jambo kwenye mkutano wa mwaka kikatiba unaofanyika Dodoma

Naibu waziri Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshuhulikia walemavu  Dr. Abdallah Possi akifafanua jambo kwenye ufunguzi wa mkutano mkuu wa Mwaka wa CHAVITA uliofanyika Dodoma


Mmoja wa viongozi waandamizi wa Chama cha Viziwi Tanzania CHAVITA akisema  wakati akimshukuru Mgeni Rasmi Dkt, Possi aliyewafungulia mkutano wao IMETENGENEZWA NA BANDA BLOG

Mkutano wa CHAVITA ukiendelea





Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG