Kaimu Kamanda wa polisi mkoa wa Singida, SSP Mayalla Towo, alisema zoezi hilo ni la kawaida na halina uhusiano na jambo lolote.(Picha na Nathaniel Limu).
Baadhi
ya askari polisi mkoa wa Singida wakiwa kwenye paredi muda mfupi kabla
hawajaanza kuonyesha silaha zao kwa wakazi wa mji wa Singida.
Tags
HABARI KITAIFA




