BANDA MEDIA BLOG

UJIO WA KERRY NCHINI KENYA NA AMANI YA SUDAN KUSINI


 BURHANI MOHAMED

Katika kile kinachoonekana ni kuguswa na suala la Sudan ya Kusini, waziri wa mambo ya nje wa Marekani John Kerry amefika jijini Nairobi nchini Kenya kwa ziara yenye lengo la kudumisha amani nchini Sudan kusini.John-Kerry na Uhuru Kenyatta

Kerry atakutana na Raisi wa Kenya Uhuru Kenyatta na kufanya nae mazungumzo kisha atazungumza na Mawaziri wote wa mambo ya nje wa Afrika Mashariki lengo kuu ni kuhakikisha amani inadumishwa katika taifa hilo changa zaidi Duniani.john-kerry-with-south-sudans-prez-salva-kiirKerry ameonekana kuwahurumia watu wa Sudan ya Kusini kwa mateso wanayoyapata kutokana na mgogoro wa nchi hiyo ambao bado ufumbuzi wake umekuwa kitendawili.

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG