|
Mstahiki
Meya wa Manispaa ya Dodoma, Japhar Mwanyemba akipokea moja kati ya
madawati 235 yenye thamani ya milioni 39 toka kwa Mkurugenzi wa Tigo
kanda ya kaskazini, George Lugata. Katikati ni Diwani Kikuyu kaskazini,
Israel Mwansasu
|
| Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Kaskazini George Lugata(kushoto) Diwani wa Kikuyu kaskazini, Israel Mwansasu na Meya wa Dodoma Mstahiki Japhar Mwanyemba wakiwa wameketi mara baada ya makabidhiano. |
|
Meneja
wa Tigo kanda ya kaskazini, Aidan Komba akiongea na walimu, wanafunzi
na wanahabari wakati wa hafla ya makabidhiano ya madawati viwanja vya
shule ya msingi Kikuyu A mkoani Dodoma
|
| Walimu na Wanafunzi wakisheherekea |
| Mwanafunzi Josephine Mahundi akitoa shukurani |
Tags
ELIMU