BANDA MEDIA BLOG

Kampuni ya simu ya mkononi ya Tigo yatoa madawati 235 mkoani Dodoma

tigo

 
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Dodoma, Japhar Mwanyemba akipokea moja kati ya madawati 235 yenye thamani ya milioni 39 toka kwa Mkurugenzi wa Tigo kanda ya kaskazini, George Lugata. Katikati ni Diwani  Kikuyu kaskazini, Israel Mwansasu



Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Kaskazini George Lugata(kushoto) Diwani wa Kikuyu kaskazini, Israel Mwansasu na Meya wa Dodoma Mstahiki Japhar Mwanyemba wakiwa wameketi mara baada ya makabidhiano.
 Katibu Tawala wa mkoa wa Dodoma, Patrick Moshi akiongea na  walimu,wanafunzi na wanahabari kwenye hafla ya kukabidhi madawati toka kampuni ya Tigo, wengine pichani Meya Japhar Mwanyemba, George Lugata, Aidan Komba

Meneja wa Tigo kanda ya kaskazini, Aidan Komba akiongea na walimu, wanafunzi na wanahabari wakati wa hafla ya makabidhiano ya madawati viwanja vya shule ya msingi Kikuyu A mkoani Dodoma

Walimu na Wanafunzi wakisheherekea

 Mwanafunzi Josephine Mahundi akitoa shukurani

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG