![]() |
| Washiriki wa Mafunzo hayo wakipiga makofi wakati wa kumpokea mgeni rasmi |
![]() |
| Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu akifafanua jambo wakati alipokuwa akifunga mafunzo hayo ya miezi 2 IMETENGENEZWA NA BANDA BLOG |
![]() |
| Kaimu Mkurugenzi mtendaji wa Hospital ya Benjamini Mkapa Prof Ainori Gesase akielekeza jambo wakati alipokuwa akiongea wahitimi wa mafunzo hayo |
![]() |
| Mkurugenzi mkuu wa Ofsi ya Taifa ya Takwimu Albina Chuwa akisoma hotuba yake wakati wa tukio hilo |
![]() |
| Mkurugenzi mtendaji wa Tume ya Taifa ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania [TACAIDS] Dkt, Leonard Maboko akizungumza jambo |
![]() |
| Mganga mkuu wa Mkoa wa Dodoma James Kiolongwe akizungumza jambo wakati alipokuwa akimwakirisha mkuu wa mkoa huo Jordan Rugimbana |

![]() |
| Picha ya Pamoja ya Washiriki |
![]() |
| Muonekano wa nje wa jengo la Hospital ya Benjamini Mkapa ya Mjini Dodoma |
Tags
AFYA











