BANDA MEDIA BLOG

WAZIRI WA MAMBO YA NDANI MWIGULU NCHEMBA AWATAKA WACHUNGAJI KUTOKIMBILIA POLISI

Viongozi wa kanisa la kiinjili la kilutheri Tanzania wakimkaribisha Waziri wa Mambo ya Ndani Mwigulu Nchemba kwenye mkutano wa wachungaji wa kanisa hilo uliyofanyika mjini DODOMA

Waziri wa Mambo ya Ndani Mwigulu Nchemba akizungumza jambo mbele ya wachungaji wa kanisa la KKKT waliokuwa kwenye mkutano wa kanisa hilo uliofanyika mjini Dodoma IMETENGENEZWA NA BANDA BLOG


Wachungaji wa kanisa hilo wakiwa ukumbini hapo


Kiongozi wa kanisa la kiinjili la Kiluthel Tanzania Fredric Shoo akizungumza jambo kwenye mkutano huo unaoendelea katika ukumbi wa Chimwaga uliyopo Chuo kikuu cha Dodoma UDOM



Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG