BANDA MEDIA BLOG

AyoTV VIDEO: Baada ya Mchungaji Lwakatare kuwatoa wafungwa DSM, sasa ni zamu ya Dodoma

Ikiwa siku kadhaa zimepita tangu Mchungaji wa Kanisa la Mlima wa Moto Mikocheni B, Dk. Getrude Lwakatare kutoa milioni 25 kuwalipia wafungwa 78 ambao walikosa fedha kulipia faini na kufungwa jela mkoa wa Dar es salaam.  Sasa amejitolea kuwalipia faini wafungwa 50 walioko kwenye magereza mkoani DODODMA, wakiwemo wanaonyonyesha, wazee na watoto.

Akizungumza na Ayo Tv na millardayo.com, Lwakatare amesme aamesema……>>>‘Siku ya ijumaa itakuwa kwa ajili ya Dodoma tumefanukiwa kuwalipia faini za watu wenye makosa madogomadogo ya elfu hamsini, ya laki na nusu kwa watu wapatao 50 na tulitoa kipaumbele kwa watu wanaonyonyesha watoto, wagonjwa, wazee vikongwe, wale watu ukiwalipia unapata dhawabu kwa Mungu’

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG