BANDA MEDIA BLOG

MAAFSA UHAMIAJI MKOANI DODOMA WAPANDISHWA VYEO WAPEWA WOSIA WA KAZI

Mkaguzi msaidizi wa uhamiaji Kevin Malya akiwa na mwenzake Grace Challe aliyepandishwa nae cheo hicho wakitokea cheo cha sajenti, ambapo leo oct 11, 2016 wamefaniwa sherehe ya kupongezwa ikiwa ni pamoja na kupewa wosia wa kikazio na watangulizi wao

Naibu Kamishna wa Uhamiaji Ali Dady Ali akizungumza jambo wakati alipokuwa akitoa hotuba kwenye sherehe fupi ya kuwapongeza maofsa uhamiaji waliopandishwa vyeo toka cha sajenti mpaka ukaguzi msaidizi

Afsa utumishi wa Uhamiaji mkoa wa Dodoma Augostino Matheo akielekeza jambo wakati alipokuwa akiwapa maelekezo ya utendaji wa kazi kwa nidhamu maofsa uhamiaji wawili kwa niaba ya mwenzao ambaye hakuwepo


Naibu Kamishna wa Magereza Rehema Ezekiel akizungumza jambo kama mgeni mualikwa akimwakilisha mkuu wa magereza mkoa wa Dodoma kwenye sherehe hiyo IMETENGENEZWA NA BANDA BLOG









Mwalimu wa Lugha ya Kichina Amily / Huang Zitian ambaye amekuwa akiwafundisha maafsa uhamia wa mkoa wa Dodoma akitosi kama ishara ya kutakiana maisha marefu na viongozi wa uhamiaji pamoja na Naibu kamishna wa magereza wakati wa sherehe hiyo



Afasa Uhamiaji Kevin Malya akifafanua jambo wakati alipokuwa akitoa shkurani kwa waalikwa na viongozi mbalimbali waliofika kushiriki katika shere ya kuwapongeza kwa kupandishwa vyeo kutoka usanti mpaka kuwa wakaguzi wasaidizi wa Uhamiaji



Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG