BANDA MEDIA BLOG

YANGA YATUA MBEYA TAYARI KWA AJILI YA MECHI DHIDI YA CITY, MASHABIKI WAWAPA MAPOKEZI YA HESHIMA



Mashabiki na wanachama wa Yanga walijitokeza kwenye Uwanja wa ndege mjini humo kuwapokea vijana wao huku wakiwaonyesha heshima kubwa.


Yanga inatarajia kufanya mazoezi leo chini ya Kocha Hans van Der Pluijm ili kufanya maandalizi ya mwisho kabla ya mechi hiyo ya Jumatano.





Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG